Search This Blog
Tuesday, August 27, 2019
Ujumbe wa Dr Mwigulu Nchemba Kwenda Kwa Zitto Kabwe 'Ushindi wa Magufuli 2020 Utakuwa wa Kishindo'
Bwana ZITTO, Elewa kuwa Rais Yuko kazini, Hajakutana na watendaji Kama mwenyekiti wa Chama. Hata angekutana kwa ajili ya UCHAGUZI kwa mtu mwenye akili timamu ungejua kuwa UCHAGUZI wowote huandaliwa na Serikali iliyoko MADARAKANI kwa kutumia watumishi wa UMMA.
1) CCM Ni Chama Cha Wakulima na Wafanyakazi wakiwepo watumishi, Hivyo watumishi wakikiunga mkono Chama na Chama kikawategemea sio dhambi. Vyama vingine havina kundi lolote la WATANZANIA vinategemea wakoloni.
2) Rais Hana haja ya kuwaelekeza Ma DSOs Na Ma RSOs kuiba kura kwa sababu kwa KAZI alizofanya kura tayari anazo, Shida yako ZITTO hata jimboni kwako hutembelei ujue kuwa kura anazo. Jimboni KWANGU Rais hata asipokuja kufanya Kampeni, Miradi ya maendeleo imeshampigia KAMPENI KURA ANAZO. HAYA MAMBO UNAYOTAKA KUIBA, KUELEKEZA, tunajua lengo Ni kuchafua na kuandaa visingizio.
USHINDI ITAKAOPATA CCM Serikali za Mitaa na USHINDI ATAKAOPATA RAIS MAGUFULI 2020 UTAKUWA WA KIHISTORIA AMBAO HAUJAWAHIPATIKANA. ITAKUWA CHAGUA MAGUFULI KAZI IENDELEEE.......
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment