Search This Blog

Tuesday, August 6, 2019

SIMBA Day Noma.... Uwanja wa Taifa umejaa, Mo Dewji aagiza zifungwe TV nje ya uwanja mashabiki waendelee kuburudika



Katika kuadhimisha kilele cha Simba Day Jana, Mashabiki wa klabu ya Simba wamefanikiwa kujaza uwanja wa Taifa. Hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mo Dewji.


Mo Dewji akiongea na waandishi wa habari kwenye uwanja huo, Amesema kuwa uwanja umejaa na ameshaagiza zifungwe TV nje ya uwanja huo ili mashabiki waliokosa nafasi ya kuingia watazame tukio hilo Live.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...