Search This Blog
Tuesday, August 6, 2019
SIMBA Day Noma.... Uwanja wa Taifa umejaa, Mo Dewji aagiza zifungwe TV nje ya uwanja mashabiki waendelee kuburudika
Katika kuadhimisha kilele cha Simba Day Jana, Mashabiki wa klabu ya Simba wamefanikiwa kujaza uwanja wa Taifa. Hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mo Dewji.
Mo Dewji akiongea na waandishi wa habari kwenye uwanja huo, Amesema kuwa uwanja umejaa na ameshaagiza zifungwe TV nje ya uwanja huo ili mashabiki waliokosa nafasi ya kuingia watazame tukio hilo Live.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment