Search This Blog
Sunday, August 25, 2019
Sasa Yanga SC kuvaana na Zesco United Kombe la Shirikisho Barani Afrika
Baada ya kufanikiwa kuitoa Township Rollers kwenye hatua ya awali Klabu Bingwa Afrika, Yanga SC sasa katika raundi ya kwanza ya michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika watacheza dhidi ya Zesco United ya Zambia.
Ikumbukwe Zesco United wamefika hatua hiyo baada ya ushindi wa jumla ya goli 3-0 dhidi ya Green Mamba ya Eswatini.
Yanga SC wataanzia nyumbani Tanzania na kumalizia ugenini nchini Zambia, mechi ya kwanza itapigwa kati ya Septemba 13-15 marudiano kuchezwa kati ya Septemba 27-29 mwaka huu. Baada ya hapo, mshindi wa hatua hii atafuzu katika hatua ya makundi ya michuano hiyo ya Afrika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment