Search This Blog
Sunday, August 25, 2019
Polisi kumkamata Mgombea Urais Tunisia
Jaji Mkuu wa Fedha wa Tunisia alitoa hati ya kukamwa kwa mgombea wa urais Nabil Karoui kwa madai ya kukwepa kodi na utakatishaji fedha. Pia Waraka wa pili ulitolewa wa kumtia kizuizini kaka wa Nabil Karoui, Ghazi Karoui.
Mmiliki huyo mkubwa wa vyombo vya habari ni mpinzani mkubwa kwenye uchaguzi wa urais unaotarajiwa kufanyika Septemba 15 mwaka huu.
Kituo cha televisheni kinachomilikiwa na Karoui pamoja na vyombo vingine vya habari vilizuiliwa na tume ya uchaguzi na mamlaka ya kusimamia vyombo vya habari kwa madai ya kutokuwa na leseni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment