Search This Blog
Wednesday, August 14, 2019
Rosa Ree Avunja Mwiko AFRIMA..Wa Rapper wa Kike Kuingia Kinyang'anyiro cha Msanii Bora wa Kike East Africa
Tumezoea wanamuziki tunao waona wakiingia kwenye Nominations nyingi za Tuzo za nje ni hawa wanaoimba ila katika Nominations zilizotangazwa Jana na AFRIMA Msanii Rosa Ree ambae ni Rapper wa kike kutokea Tanzania ametokelezea katika kipengele cha Msanii bora wa kike Eastern Africa Akiwemo Nandy, Maua, Vanessa Mdee na Qeen Darleen kutoka Tanzania
Rosa Ree ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Instagram:
Rosa_ree
HARD-WORK IS AN INVESTMENT!!
Bidii ni Akiba na Akiba haiozi.. If you don’t get it today or tomorrow, your day will dawn!
For the first time in the history of Tanzanian , a Female HIP HOP artiste has been nominated in the category of Best Female Artistes in Eastern Africa Region in the All Africa Music Awards #AFRIMA #6thAFRIMAAwards @afrimawards GOD IS GOOD 🙏🏾
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment