Search This Blog

Monday, August 26, 2019

Rais Magufuli Awaita Ikulu Watendaji Wote wa Kote Nchini

Rais Dkt John Pombe Magufuli ameitisha mkutano na Maafisa Watendaji wa Kata Tanzania Bara, unaotarajiwa kufanyika Ikulu, Dar es Salaam Septemba 2, 2019. TAMISEMI imewaagiza Makatibu Tawala wa Mikoa kuwaruhusu watendaji hao na kuwalipa posho za kujikimu na nauli ili wafike mkutanoni.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...