Search This Blog

Monday, August 26, 2019

Lynn Awaka Baada ya Kuitwa Mdangaji

‘Lynn’ amelipuka vilivyo kutokana na watu kumsema kuwa anadanga. Lynn ameliambia Gazeti la Ijumaa Wikienda kuwa, wanaosema anadanga, hivi karibuni atawapa majibu yake kwa sababu wanafikiri ni kitu kizuri kumwambia hivyo mtoto wa binadamu mwenzao.

“Hivi wanafikiri kudanga ni kitu rahisi kama wanavyodhani, basi kama nadanga nitawaonesha siku moja jinsi navyodanga ili waseme vizuri,” alisema Lynn

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...