‘Lynn’ amelipuka vilivyo kutokana na watu kumsema kuwa anadanga. Lynn ameliambia Gazeti la Ijumaa Wikienda kuwa, wanaosema anadanga, hivi karibuni atawapa majibu yake kwa sababu wanafikiri ni kitu kizuri kumwambia hivyo mtoto wa binadamu mwenzao.
“Hivi wanafikiri kudanga ni kitu rahisi kama wanavyodhani, basi kama nadanga nitawaonesha siku moja jinsi navyodanga ili waseme vizuri,” alisema Lynn
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment