Search This Blog

Tuesday, August 20, 2019

Picha: Rais Magufuli alipotembelea Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli atembelea na kukagua utendaji kazi wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali iliyopo karibu na Hospitali kuu ya taasisi ya Saratani Ocean road Jijini Dar es salaam pamoja na kuzungumza na wafanyakazi wa Ofisi hiyo Agosti 20, 2019.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...