Search This Blog
Tuesday, August 27, 2019
Paul Pogba afunguka ishu ya ubaguzi wa rangi
Kiungo mshambuliaji wa Manchester United, Paul Pogba amefunguka kuwa sakata lake la kubaguliwa kisa rangi yake kumempa nguvu ya kuwa imara zaidi. Pogba amesema ubaguzi wa rangi kwake anaona ni ushamba na unapoteza muda kufanya mambo makubwa.
Ikumbukwe Pogba alishambuliwa kwenye mitandao ya jamii baada ya kushindwa kufunga penalti kwenye mchezo wa ligi kuu Uingereza (EPL) dhidi ya Wolves na kutoka sare ya 1-1.
Wakati huo huo, kocha wa Man U Ole Gunnar Solskjaer amesema sasa anamruhusu Paul Pogba kupiga penalti baada ya Marcus Rashford aliyekuwa akimwamini kukosa mkwaju wa penalti dhidi ya Crystal Palace kwenye ligi kuu Uingereza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment