Search This Blog
Monday, August 19, 2019
Muigizaji The Rock afunga ndoa na Lauren Hashian
Muigizaji Dwayne Johnson maarufu kama The Rock amefunga ndoa na muimbaji Lauren Hashian kando ya fukwe za Hawaii. Johnson, 47, na Hashian, 34, ni wazazi wa mabinti wawili Jasmine, 3, na Tiana, 1.
Utakumbuka kuwa kabla ya ndoa hiyo, Johnson alibahatika kupata mtoto pia kwenye mahusiano yake yaliyopita na bibie Dany Garcia.
Wawili hawa wanatajwa kukutana mwaka 2006 na kuanza rasmi mahusiano ya kimapenzi mwaka 2007 baada ya ndoa ya The Rock Dany Garcia kuvunjika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment