Search This Blog

Monday, August 19, 2019

Emmanuel Okwi asajiliwa rasmi nchini Misri


Baada ya ukimya wa muda mrefu sasa ni rasmi aliyekuwa Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi ametambulishwa kwenye klabu yake mpya ya Itthad Alexandria ya nchini misri na kukabidiwwa jezi namba 19.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...