MSHAMBULIAJI Mtanzania, Mbwana Samatta anayechezea Genk atakuwa na nafasi ya kucheza dhidi ya Liverpool ya England katika Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ratiba ya michuano hiyo kupangwa jana jioni kwa msimu wa 2019/20.
Katika tukio hilo la upangwaji makundi pia kulitolewa tuzo za michuano hiyo kutokana na ligi ya msimu uliopita. Tuzo zilikuwa hivi: Kipa Bora ni Alisson wa Liverpool, Beki Bora ni Virgil van Dijk (Liverpool), Kiungo Bora ni Frenkie de Jong (Barcelona), Mshambuliaji Bora ni Lionel Messi (Barcelona) na Mchezaji Bora wa Ulaya ni Virgil van Dijk.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment