Search This Blog

Sunday, August 18, 2019

Kisa wizi apewa adhabu ya kunywa ndoo mbili za maziwa


Said Kione anaesadikiwa kuiba ndoo mbili za lita 20, za maziwa fresh jana  eneo la Miyomboni, Iringa amepewa adhabu ya kunywa ndoo zote mbili za maziwa aliyoiba badala ya kupelekwa polisi baada ya kudai kuwa alilazimika kuiba kutokana na njaa na hamu ya maziwa hayo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...