Search This Blog

Sunday, August 18, 2019

Kenya: Moto mkubwa wateketeza soko


Moto mkubwa umeteketeza soko la Githurai 45 nchini Kenya, Moto huo umeteketeza mali ambazo bado thamani yake haijafahamika.

Aidha kiwanda cha kutengeneza samani nacho kimeteketea, huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijaweza kutambulika mara moja.

Hadi kufikia sasa mamlaka za nchini humo hazijaeleza chanzo cha moto huo ambao umezimwa kwa juhudi za kikosi cha zima moto

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...