Search This Blog
Tuesday, August 13, 2019
Huyu ndiye mrithi wa Irene Uwoya kwa Dogo Janja
Msanii wa muziki nchini, Dogo Janja amemuweka wazi mpenzi wake mpya baada ya muda mrefu kupita tangu alipoachana na aliyekuwa mke wake, muigizaji IreneUwoya.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, mkali huyo ameweka picha akiwa na mpenzi wake huyo mpya kwenye sikukuu ya Eid El Hajj na kuandika, “kipande hiki EID tunaimaliza kwa style hii.. happy moments with my baby!! Kenya 254 wagwaan”
Hata hivyo hii sio mara ya kwanza kwa Dogo Janja kumuonyesha mpenzi wake huyo Instagram, huwa anam-post mara kwa mara huku akiandika maandishi yanayoashiria wana mahusiano.
Huyu anaweza akawa mrithi wa aliyekuwa mke wake, Irene Uwoya ambaye waliachana mwaka jana baada ya kudumu kwa kipindi kifupi kwenye ndoa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment