Search This Blog
Thursday, August 1, 2019
Diamond Platnumz akanusha kuwa mapenzini na Lulu Diva
Msanii wa muziki nchini, Diamond Platnumz akanusha vikali madai ya kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na msanii mwenzake wa Bongo Flava, Lulu Diva.
Madai hayo yaliyoibuliwa na ukurasa maarufu wa udaku hapa nchini, yapelekea kumuibua Diamond na kukoment kwenye post hiyo huku akiwataka wamuheshimu kwa kila anaesambaza taarifa hizo.
Kupitia taarifa hiyo iliyotolewa na kukanushwa na mkali huyo hapa Instagram, ilieleza kuwa, "Yamezuka hayo baada ya video kusambaa ikiwaonesha wawili hao wakiwa katika mahaba mazito"
Hata hivyo hii sio mara ya kwanza kwa mkali huyo na matukio haya ya kuzushiwa, aliwahi pia kuzushiwa kutoka kimapenzi na mwanadada, aliyewahi kufahamika kuwa ni Video vixen Kimnana, ingawa hakuna aliyewahi kuthibitisha hilo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment