Search This Blog

Thursday, August 8, 2019

DIAMOND atangaza kununua Ndege (JET) yake mwaka huu au mwakani 👉

DIAMOND atangaza kununua Ndege (JET) yake mwaka huu au mwakani, Amedai  yeye anafaya kazi sana hata wakati wengine wamelala yeye anapiga kazi

PIA amesema birthday yake ya mwaka huu atanunua gari aina ya Rolls Royce lenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 600 za Kitanzania

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...