Search This Blog

Sunday, August 4, 2019

BreakingNews: ‪Basi la Kampuni ya Hood Lapata Ajali....

BreakingNews ‬
‪Basi la kampuni ya Hood lenye namba T 779 AVL lililokuwa likitokea mkoani Arusha kuelekea Mbeya limepata ajali katika kijiji cha Uchira wilayani Moshi.‬
‪Ajali hiyo imetokea majira ya saa 1:30 asubuhi na abiria wote wako salama.‬

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...