Search This Blog

Monday, July 15, 2019

Waziri wa Maji Prof. Mbarawa afanya uteuzi huu


Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa  amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa mamlaka za majisafi na usafi wa mazingira Kahama na mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Tabora pamoja na kaimu mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya majisafi na usafi wamazingira Bukoba.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...