Search This Blog

Sunday, July 28, 2019

VIDEO! MASKINI! hujafa hujaumbika, uvimbe wazima ndoto za binti aomba msaada


Neema ,19, mkazi wa kijiji cha Erri Wilaya ya Babati, anaumwa anasumbuliwa na uvimbe kwenye mkono wake wa kulia unaoendelea kuongezeka kila siku.

Neema anayeishi na mama yake, Greater Raphael baada ya baba yake mzazi kufariki, amekuwa na wa huzuni kila kukicha kutokana na maumivu anayoyapata kwenye mkono wake huku ukimlemea kutokana na nyama zilizoning'inia.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...