Search This Blog

Sunday, July 28, 2019

VIDEO: ''Kinyago tulichokichonga wenyewe kamwe hakiwezi kututisha'' Khery James


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa (UVCCM), Kheri James amesema kuwa chama cha ccm ni imara na madhubuti na kikotayari kuifanya kazi ya kuwatumikia watanzania na kujenga ustawi wa taifa letu na kazi hiyo kimeifanya tangu uhuru na kinaifanya sasa na kitaendelea kuifanya mpaka milele ambapo amesema kuwa kama kuna mbinu mia moja ya kutawala mpaka sasa ccm imetumia mbinu tatu bado mbinu tisini na saba, na kinyago tulichokiconga wenyewe kamwe hakiwezi kututisha.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...