Search This Blog
Monday, July 15, 2019
Shirika la anga India lasitisha ya kuelekea mwezini
Shirika la anga la India limesitisha safari ya pili ya kuelekea mwezini hapo jana kutokana na hitilafu za kiufundi katika chombo chake cha Chandrayaan-2, kilichotakiwa kufanya safari hiyo.
Hata hivyo, Shirika hilo limesema tarehe mpya ya kuanza kwa safari hiyo itatangazwa baadaye.
Safari ya chombo hicho kuelekea mwezini ilipangwa kuanza usiku wa kuamkia jana na ilitarajiwa kutua katika upande ulio mbali kidogo na mwezi kwa lengo la kuchunguza uwepo wa maji katika eneo hilo.
Ujumbe wa kwanza wa Chandrayaan-1 wa mwaka 2008 uliofika mwezini uliwahi kuthibitisha kuwepo kwa maji kwenye mwezi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment