Search This Blog
Tuesday, July 16, 2019
Rais Magufuli aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika Makao Makuu ya CCM katika ukumbi wa Halmashauri ya ccm jijini Dodoma hapo jana.
Mwenyekiti wa CCM na Rais Dkt John Magufuli akishuka katika ndege Uwanja wa Ndege wa Dodoma akitokea Mwanza ambapo jana tarehe 16 julai 2019 ameendesha Kikao cha Kamati Kuu ya ccm kilichofanyika Makao Makuu ya CCM katika ukumbi wa halmashauri ya Dodoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment