Search This Blog

Tuesday, July 16, 2019

Picha: Viongozi mbalimbali katika harusi ya mtoto wa Lowassa


Viongozi mbalimbali Wastaafu na waliopo Madarakani wakiongozwa na Rais Mstaafu Alli Hassan Mwinyi,Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Self Ali Idd wamepamba harusi ya Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, Robert Lowassa na mkewe Stephanie Kaaya.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...