Search This Blog
Monday, July 1, 2019
Polisi watumia risasi za mpira kutawanya wapenzi wa jinsia moja
Polisi wa Uturuki wamelazimika kutumia risasi za mpira kutawanya wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja ambao walikuwa wakiandamana katikati mwa mji wa Istanbul.
Kwa mara ya tano katika kipindi cha miaka mitano, Gavana wa Istanbul amekuwa akipiga marufuku maandamano hayo.
Hata hivyo licha ya marufuku huo, mamia ya wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja juzi walijumuika katika bustani ya Taksim kwa ajili ya maandamano hayo. Maandamano kama hayo yaliandaliwa mwaka wa 2014 na kuhudhuriwa na watu zaidi ya 100,000 kupinga uhasama na chuki dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment