Search This Blog

Wednesday, July 31, 2019

Picha: Simba SC waliporejea nchini


Mabingwa wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (TPL), Simba SC wamerejea nchini wakitokea Afrika Kusini alipokuwa wameweka kambi. Kikosi hicho kipo kwenye maandalizi ya mchezo wao watakaocheza kwenye tamasha la Simba Day.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...