Search This Blog
Thursday, July 18, 2019
Meddie Kagere na wengine watatu warejea mazoezini Simba SC
Wachezaji wa Simba SC, Meddie Kagere, Deo Kanda, Francis Kahata na Sharaf Shiboub jana jioni wameanza mazoezi na wenzao kujiandaa na msimu mpya.
MK14 hana mchezo kabisa siku ya kwanza ya mazoezi na kazi ya kufunga ikaanza. Magoli ya Meddie Kagere na Wilker Da Silva wakifunga kwenye mazoezi ya jioni, na fundi Ibrahim Ajibu kafunga mawili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment