Search This Blog

Thursday, July 18, 2019

Meddie Kagere na wengine watatu warejea mazoezini Simba SC


Wachezaji wa Simba SC, Meddie Kagere, Deo Kanda, Francis Kahata na Sharaf Shiboub jana jioni wameanza mazoezi na wenzao kujiandaa na msimu mpya.

MK14 hana mchezo kabisa siku ya kwanza ya mazoezi na kazi ya kufunga ikaanza. Magoli ya Meddie Kagere na Wilker Da Silva wakifunga kwenye mazoezi ya jioni, na fundi Ibrahim Ajibu kafunga mawili.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...