Search This Blog

Sunday, July 21, 2019

Mafuriko yasababisha vifo vya watu zaidi ya 150 India


Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kwa siku kadhaa mfululizo, mafuriko yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 150 nchini India.

Habari zilizotolewa na vyombo vya habari vya India zinasema, katika majimbo ya Bihar na Assam ambayo yameathiriwa zaidi na maafa haya, idadi za vifo vya watu imefikia 100 na 50, na katika majimbo ya Mizoram na Kaskazini, pia kuna vifo vya watu kutokana na mafuriko.

Habari zinasema vikosi vya uokoaji vinafanya uokoaji wa dharura, na kuwapatia misaada ya chakula na dawa watu walioathiriwa.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...