Search This Blog
Sunday, July 21, 2019
Mafuriko yasababisha vifo vya watu zaidi ya 150 India
Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kwa siku kadhaa mfululizo, mafuriko yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 150 nchini India.
Habari zilizotolewa na vyombo vya habari vya India zinasema, katika majimbo ya Bihar na Assam ambayo yameathiriwa zaidi na maafa haya, idadi za vifo vya watu imefikia 100 na 50, na katika majimbo ya Mizoram na Kaskazini, pia kuna vifo vya watu kutokana na mafuriko.
Habari zinasema vikosi vya uokoaji vinafanya uokoaji wa dharura, na kuwapatia misaada ya chakula na dawa watu walioathiriwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment