Jeshi la Ulinzi la Afrika kusini (SANDF) limetoa taarifa kwamba litatoa ruhusa kwa wanajeshi wanawake ambao ni waumini wa dini ya kiislamu kuvaa ushungi kichwani.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchi hio uamuzi huo kutoa uhuru kwa wanajeshi waislamu kuvaa ushungi wakiwa katika mavazi yao rasmi umefuatia mazungumzo baina ya jeshi hilo na baraza la waislamu la Afrika kusini (MJC).
Uamuzi huo unatarajiwa kuanza kutumika mara baada ya wizara husika kuupitisha rasmi.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment