Search This Blog
Thursday, July 4, 2019
Idadi ya vifo kwa walioangukiwa na ukuta yaongezeka
Idadi ya vifo kutoka na kuanguka kwa ukuta Jumatatu usiku katika mji mkuu wa kifedha wa India Mumbai imeongezeka hadi kufikia 27, kulingana na Kiini cha Usimamizi wa Maafa ya Shirika la Manispaa la Brihanmumbai.
Kati ya watu waliokolewa, 71 walijeruhiwa na wanapata matibabu katika hospitali nne za kiraia, na 23 wameruhusiwa kwenda nyumbani, wasimamizi wa Maafa walieleza hayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment