Search This Blog

Thursday, July 4, 2019

Idadi ya vifo kwa walioangukiwa na ukuta yaongezeka


Idadi ya vifo kutoka na kuanguka kwa ukuta Jumatatu usiku katika mji mkuu wa kifedha wa India Mumbai imeongezeka hadi kufikia 27, kulingana na Kiini cha Usimamizi wa Maafa ya Shirika la Manispaa la Brihanmumbai.

Kati ya watu waliokolewa, 71 walijeruhiwa na wanapata matibabu katika hospitali nne za kiraia, na 23 wameruhusiwa kwenda nyumbani, wasimamizi wa Maafa walieleza hayo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...