Search This Blog
Sunday, July 14, 2019
Djokovic amchapa Federer na kutwaa taji la Wimbledon
Novack Djockovic ameshinda taji la tano la mashindano makubwa ya Tenisi ya Wimbledon kwa kumnyuka Roger Federer kwenye viwanja vya Centre Court mjini London.
Fainali iliyokutanisha magwiji hao inatajwa kama mechi bora na ngumu kuwahi kutokea katika historia ya mashindano hayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment