Jeshi La Polisi mkoani Mtwara linawashikilia watu 40 kwa tuhuma za wizi wa mali na uvunjaji.
Watu hao 40 wanahusika kwenye tuhuma za wizi wa mali za watu na matukio ya uvunjaji, huku wakikamata pikipiki 7 na Television 12.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Blasius Chatanda, amesema mali zingine walizokamata kupitia oparesheni inayotekelezwa na jeshi hilo ni pamoja na ving’amuzi na Sabuufa.
Kuhusu sikuku ya Eid, kamanda huyo wa polisi amewaonya waendeshaji wa vyombo vya moto kutotumia vilevi kipindi cha sikukuu.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment