Search This Blog

Tuesday, June 11, 2019

Wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kubaka na kuua


Mahakama moja nchini India imetoa hukumu ya kifungo cha maisha jela kwa wanaume watatu waliotiwa hatiani kwa kumbaka na kisha kumuua msichana wa miaka nane.

Tukio hilo lilitokea  katika jimbo la Jammu Kashmir, watatu hao walipatikana na hatia ya kubaka, kuua na matendo ya unyanyasaji. Mwili wa msichana huyo ulipatikana kwenye msitu mnamo Januari mwaka jana.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...