Search This Blog

Sunday, June 16, 2019

Wadudu waharibifu wakiwemo funza wavamia mashamba ya wakulima Kwimba

Wakulima katika Kata Fukalo Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, wamemweleza Mkuu wa Wilaya hiyo, Senyi Ngaga (katikati) kwamba wako hatarini kukumbwa na baa la njaa baada ya wadudu waharibifu wakiwemo funza na panya kuvamia mazao yao shambani na hivyo kuomba Serikali iwasaidie kupambana na wadudu hao.
Tazama vidio hapa chini


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...