Search This Blog
Wednesday, June 12, 2019
TFF kumtangaza benchi la ufundi kwa Serengeti Boys
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limethibitisha kuachana rasmi na Mkurugenzi wake wa Ufundi Ammy Ninje kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kubanwa na majukumu ya kifamilia baada ya kumaliza muda wake.
Rais wa Shirikisho hilo Wallace Karia amesema Ninje anarejea nchini Uingereza na wakati wowote kuanzia sasa watamtangaza mkurugenzi mpya pamoja na msimamizi mkuu wa benchi la ufundi la timu ya vijana U17 Serengeti Boys.
Kwa upande wake, Ninje amekiri kuwa suala la familia ndilo lililomfanya ajiondoe kwenye soka la Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment