Search This Blog

Monday, June 3, 2019

TANZIA: Diwani wa ACT -Wazalendo afariki dunia


Chama cha ACT-Wazalendo kinasikitika kutangaza kifo cha Diwani wake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo, Ndg. Tumaini Bigilimana maarufu kama Aunt Fifi ambacho kimetokea leo tarehe 03 Juni 2019 katika Hospitali ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es Salaam.

Kaa na Muungwana Blog kwa habari zaidi

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...