Msafara wa Nandy Festival Uliokuwa Ukielekea Sumbawanga Wapata Ajali Mikumi
Gari moja aina ya Coaster ambalo lilikuwa likielekea kwenye Show ya Nandy Festival mkoani Sumbawanga limepata ajali Mikumi mkoani Morogoro usiku huu na baadhi ya watu ambao hawakutambulika mara moja wamekimbizwa hospitali kwaajili ya matibabu
No comments:
Post a Comment