Search This Blog

Tuesday, June 18, 2019

Ripoti: Watu 691 wauawa Tripoli, Libya na wengine 4,012 wajeruhiwa


Shirika la Afya Duniani (WHO) lilisema watu 691 wameuawa na wengine 4,012 walijeruhiwa katika vita karibu na mji mkuu wa Libya, Tripoli.

Wanamgambo ambao wanapigana na majeshi ya serikali wakiongozwa na Khalifa Haftar,wameongeza kampeni zao za kijeshi tangu mapema Aprili ili kuchukua mji wa Tripoli, ambapo serikali inayoungwa mkono na umoja wa mataifa (UN) iko.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...