Search This Blog
Tuesday, June 18, 2019
Ripoti: Watu 691 wauawa Tripoli, Libya na wengine 4,012 wajeruhiwa
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilisema watu 691 wameuawa na wengine 4,012 walijeruhiwa katika vita karibu na mji mkuu wa Libya, Tripoli.
Wanamgambo ambao wanapigana na majeshi ya serikali wakiongozwa na Khalifa Haftar,wameongeza kampeni zao za kijeshi tangu mapema Aprili ili kuchukua mji wa Tripoli, ambapo serikali inayoungwa mkono na umoja wa mataifa (UN) iko.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...


No comments:
Post a Comment