Search This Blog
Monday, June 3, 2019
Lulu Diva alinipa laki tano tufanye kiki - TID
Msanii wa Muziki, TID amesema kuwa Lulu Diva alimtuma mtu ampe laki tano ili amzungumzie apate kiki.
TID amesema kuwa maisha yake ni kiki, huku akisema kuwa hata wale wanaohitaji Kiki anawatoza fedha na anafanya kiki.
"Hivi unajua kuna watu wanatafuta kiki kupitia mimi na kunipatia pesa, huwezi amini Lulu Diva ameniletea pesa ili nimzungumzie apate kiki," TID ameiambia Wasafi Tv.
"Kamtuma mtu kamwambia mwambie TID anitafutie kiki shika laki tano , tena watu wengine wakitaka kiki nawacharge , lakini mimi maisha yangu ni Kiki automatically."
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment