Search This Blog
Sunday, June 23, 2019
Jean Pierre Bemba arejea DR Congo
Kiongozi wa upinzani na Mbabe wa Kivita nchini DR Congo, Jean-Pierre Bemba, aliekuwa amezuiliwa na mahakama ya uhalifu wa kivita kwa tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu amerejea mjini Kinshasa hapo jana ikiwa ni mara ya pili katika kipindi cha chini ya mwaka kurejea nchini humo .
Bemba, aliwasili katika uwanja wa ndege wa Ndjili akiwa katika ndege binafsi na kupokelewa na mgombea wa kiti cha u-Rais alieshindwa katika uchaguzi Martin Fayulu.
Kwa upande wake waziri wa mambo ya nje wa Ubelgiji Didier Reynders ameandika katika ukurasa wake wa Twitter kuwa kurejea kwa Jean Pierre Bemba na viongozi wengine wa upinzani ni hatua muhimu nchini humo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment