Search This Blog

Monday, June 24, 2019

Dkt. Migiro apokea kifaa muhimu cha kufundishia madaktari


Ubalozi wa Tanzania-Uingereza, Dkt. Asha-Rose Migiro amepokea kifaa muhimu cha kufundishia madaktari,wauguzi na wataalamu wa sekta ya afya na vitabu vya kitabibu kutoka Jumuiya ya Watanzania waishio Uingereza wanaofanya kazi katika sekta ya afya(Tanzania United Kingdom Health Diaspora Association)



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...