Search This Blog

Friday, June 14, 2019

ATCL kusafiri Afrika Kusini kwa bei ya punguzo

Likitarajia kuanza kurukwa kwenda Johannesburg, Afrika Kusini, Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limetoa tiketi kwa watu watatu walioibuka washindi kwa kujibu maswali yaliyoulizwa kwenye mitandao

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...