Search This Blog

Friday, June 14, 2019

Makamba atoa neno kugombea urais Tanzania

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) January Makamba amesema swala la kugombea urais wa Tanzania kwake sio swala la kupania kwani Mungu ndiye hupanga.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...