Search This Blog

Tuesday, May 28, 2019

Wafungwa waliofariki gerezani wafikia 57


Wafungwa 15 walifariki siku ya Jumapili na wengine 42 siku ya Jumatatu, vifo hivi vimechochewa na ukosefu wa hewa kutokana na msongamano.

Ghasia zilizuka wakati Wafungwa hao wakifanya jitihada za kujiokoa kutoka katika gereza hilo lililopo katika Jiji la Manaus.

Wizara ya Haki na Usalama wa Raia imepanga kutuma kikosi Kazi kwa ajili ya kuchunguza tukio hilo.

Mwaka 2017 Wafungwa 100 walifariki kwa kukosa hewa katika gereza moja nchini Brazil.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...