Search This Blog
Monday, May 27, 2019
Wafungwa 15 wafariki kwenye vurugu zilizotokea gerezani
Kwa mujibu wa Sekretarieti ya Magereza, Wafungwa hao wamefariki jana Mei 26 katika gereza moja lililopo kwenye jimbo la Amazonas baada ya vurugu kuzuka.
Mkuu wa Sekretarieti hiyo, Kanali Marcos Vinicius Almeifa amesema, Wafungwa hao walifariki ama kwa kukosa hewa au kuchomwa na vitu vya ncha kali ikiwemo miswaki.
Ameeleza kuwa vurugu zilianza muda wa raia kutembelea Wafungwa, hakukuwa na raia waliotekwa nyara na vurugu hizo zilikuwa baina ya Wafungwa wenyewe.
Ameongezea kuwa bado sababu ya vurugu hizo haijafahamika ila Serikali inafanya uchunguzi kubaini chanzo hicho.
Aidha, mwaka 2017 katika gereza hilo hilo kulitokea vurugu zilizodumu kwa saa 20 ambapo Wafungwa walikuwa wakitaka kufanya mapinduzi na kupelekea watu 56 kufariki.
http://bit.ly/2K7b6Su
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment