Jumamosi hii kwenye mchezo wa Simba dhidi ya Biashara United ambao umemalizika kwa sare ya kufungana bao 1-1, tumeshuhudia mashabiki wa Sima wakimuimbia nyimbo mshambuliaji wao hatari Meddie Kagere kuonyesha kuwa wamekubali kiwango chake msimu huu akiwa tayari ameshapachika mabao 23 kwenye ligi kuu.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE
http://bit.ly/2X5GOmJ

No comments:
Post a Comment