Search This Blog

Sunday, May 26, 2019

UKARABATI BUKOBA SEKONDARI UMEFIKIA HAPA.


Kufuatia Dhoruba ya Upepo mkali uliombatana na Mvua kubwa kuikumba Shule ya Sekondari Bukoba, na Kusababisha madhara makubwa katika Shule hiyo na kufungwa kwa Muda, sasa ukarabati umeanza na hizi ndiyoo picha mbalimbali zikionesha ujenzi wa shule hiyo unavyoendelea na hatua iliyofikiwa.


http://bit.ly/30H7eNW

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...