Search This Blog

Thursday, May 23, 2019

Timu sita kushuka dimbani Leo Ligi kuu Tanzania Bara


Leo Ligi Kuu Tanazania Bara (TPL) inaendelea timu sita zitashuka kwenye Viwanja vitatu tofauti kutafuta pointi tatu muhimu kama ifuatavyo:-

Coastal Union v Tanzania Prisons, Mkwakwani, Tanga.

JKT Tanzania v Kagera Sugar, Isamuhyo, Pwani.

Alliance v Stand United, Nyamagana, Mwanza.

http://bit.ly/2X1nmHX

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...