Search This Blog

Friday, May 24, 2019

Sevilla FC waishurukuru Tanzania, Simba SC


Baada ya jana Simba SC  kuchezea kichapo cha 5 kwa 4 dhidi ya Sevilla FC, timu hiyo ya Hispania imeishukuru kwa mchezo huo.

Sevilla FC, kupitia ukurasa wake wa Twitter wameandika kuwa "Asante Tanzania, ahansate Simba SC kwa
kutupa utendaji unaostahili mabingwa."

 "ASANTE Tanzania, THANK YOU @SimbaSCTanzania, you gave us a performance worthy of champions 🦁👏 #WeareSevilla #LaLigaWorld," iliandika page ya Timu hiyo.

http://bit.ly/2WYpY9r

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...