Search This Blog

Friday, May 24, 2019

Kocha wa Sevilla abwaga manyanga

Kocha wa timu ya soka  inayoshiriki ligi kuu ya Uhispania (La Liga) Sevilla, Joaquin Caparros, ametangaza hatokuwa kiongozi wa benchi la ufundi la timu hiyo msimu ujao.

Caparros amesema ataendelea kuwapo Sevilla akiwa na majukumu mengine.

Caparros  mwenye umri wa miaka 66 amekuwa kocha wa Sevilla kwa misimu 3 tofauti, mwezi April aligundulika kuwa na ugonjwa wa kansa ya damu, Lakini alisema kwamba ugonjwa huo usingeathiri kazi zake za kitaalamu.

http://bit.ly/2EupFMa

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...